A young man from the eastern of Africa with a bachelor's degree in information science became the greatest writer to ever in the eyes of Africans and gave the world what the universe has offered him
Kuna wakati maisha yanaonekana kama fumbo lisilo na majibu sahihi,katika nyakati kama hizo unahitaji ujasiri ili uweze kuendelea kusonga mbele.
Waswahili hawakukosea waliposema kuwa maisha ni safari,hata hivyo jambo moja la uhakika binadamu sio dereva wa safari yake bali ni abiria asiyejua mahali aendako.
Kitabu hiki kina jumla ya simulizi fupi kumi na nne (14),kimeandaliwa kwa ajili ya kuelimisha mambo mbalimbali kuhusu maisha,lakini pia kuburudisha na kukuhamasisha ili uweze kuendelea ulipoishia kwa nguvu zote.
.
Nakukaribisha kwenye ulimwengu wa mawazo yangu
Kuna wakati maisha yanaonekana kama fumbo lisilo na majibu sahihi,katika nyakati kama hizo unahitaji ujasiri ili uweze kuendelea kusonga mbele.
Waswahili hawakukosea waliposema kuwa maisha ni safari,hata hivyo jambo moja la uhakika binadamu sio dereva wa safari yake bali ni abiria asiyejua mahali aendako.
Kitabu hiki kina jumla ya simulizi fupi kumi na nne (14),kimeandaliwa kwa ajili ya kuelimisha mambo mbalimbali kuhusu maisha,lakini pia kuburudisha na kukuhamasisha ili uweze kuendelea ulipoishia kwa nguvu zote.
.
Nakukaribisha kwenye ulimwengu wa mawazo yangu
Título : Zambada na Hadithi zingine
EAN : 9798201034412
Editorial : Radi Ibrahim Nuhu
El libro electrónico Zambada na Hadithi zingine está en formato ePub
¿Quieres leer en un eReader de otra marca? Sigue nuestra guía.
Puede que no esté disponible para la venta en tu país, sino sólo para la venta desde una cuenta en Francia.
Si la redirección no se produce automáticamente, haz clic en este enlace.
Conectarme
Mi cuenta